Sunday, May 3, 2009

Mapango ya Amboni


Hili ni eneo la mlango wa kuingilia Mapango ya Kale ya Amboni nje kidogo ya JIJI la Tanga. Ni sehemu usiyopaswa kuikosa ukiwa matemebezini au kikazi Tanga. Ila angalia huyo simba mlangoni, jioni huwa anaamka (nilihadhithiwa hivyo)

No comments:

Post a Comment

Maoni Yanahusika