Karibuni Wote Kwenye Globu Hii Ya Jamii. Itakuwa Ikiwaletea Picha Na Mandhari Mbalimbali Yapatikanayo Nchini Tanzania. Kama Una Mandhari Nzuri Ungependa Kuwakilisha Basi Tutumie Nasi Tutaiwakilisha.
Sunday, May 3, 2009
Mapango ya Amboni
Hili ni eneo la mlango wa kuingilia Mapango ya Kale ya Amboni nje kidogo ya JIJI la Tanga. Ni sehemu usiyopaswa kuikosa ukiwa matemebezini au kikazi Tanga. Ila angalia huyo simba mlangoni, jioni huwa anaamka (nilihadhithiwa hivyo)
No comments:
Post a Comment
Maoni Yanahusika