Karibuni Wote Kwenye Globu Hii Ya Jamii. Itakuwa Ikiwaletea Picha Na Mandhari Mbalimbali Yapatikanayo Nchini Tanzania. Kama Una Mandhari Nzuri Ungependa Kuwakilisha Basi Tutumie Nasi Tutaiwakilisha.
Sunday, May 3, 2009
Daraja La Mkapa, Ufunguo wa Korido la Kusini
Daraja la Mkapa maeneo ya Ikwirir Rufiji. Daraja hili limekuwa chachu ya mawasiliano kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na wilaya zake, ambao walitegemea MV Mapinduzi kwa miongo kadhaa.
No comments:
Post a Comment
Maoni Yanahusika