Sunday, May 3, 2009

Daraja La Mkapa, Ufunguo wa Korido la Kusini


Daraja la Mkapa maeneo ya Ikwirir Rufiji. Daraja hili limekuwa chachu ya mawasiliano kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na wilaya zake, ambao walitegemea MV Mapinduzi kwa miongo kadhaa.

No comments:

Post a Comment

Maoni Yanahusika