Karibuni Wote Kwenye Globu Hii Ya Jamii. Itakuwa Ikiwaletea Picha Na Mandhari Mbalimbali Yapatikanayo Nchini Tanzania. Kama Una Mandhari Nzuri Ungependa Kuwakilisha Basi Tutumie Nasi Tutaiwakilisha.
Saturday, May 2, 2009
Bongo Bwana Hatuko Nyuma
Ghorofa ilivyokutwa na mpiga picha wa tanzaniahalisi maeneo ya Matiri huko Ruvuma wilaya ya Mbinga. Sio lazima Zege na nondo kulala kama popo
No comments:
Post a Comment
Maoni Yanahusika